Romans 9:25-26

Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko

25 aKama vile Mungu asemavyo katika Hosea:

“Nitawaita ‘watu wangu’
wale ambao si watu wangu;
nami nitamwita ‘mpenzi wangu’
yeye ambaye si mpenzi wangu,”
26 btena,

“Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa,
‘Ninyi si watu wangu,’
wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”
Copyright information for SwhNEN